Pages

Wednesday 24 August 2016

SHANGWETZBLOG TUNAWAPA POLE WAFIWA.


Blog ya SHANGWETZ tuna toa pole kwa ndugu jamaa na marafiki kufuatia na tukio la kinyama la majambazi  kuwauwa polisi wanne usiku wa kuamkia leo  baada ya kuvamia tawi la Bank ya CRDB lililopo Mbande Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam, Mungu awape wepesi na awe faraja kwenu wafiwa.

MUNGU BARIKI JESHI  NA TANZANIA YETU.

No comments:

Post a Comment