Pages

Wednesday 8 October 2014

Picha za Halima Mdee akirudishwa Gereza la Segerea.

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee  alikosa dhamana na kupelekwa rumande katika Gereza la Segerea.
Mdee pamoja na wenzake wanane, walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko usio halali.

Mdee akitoka ndani ya Makakama na kusalimia raia


Halima Mdee (Mwenye suti nyeusi) na wafuasi wengine wa Chadema  wakisindikizwa kupanda gari la polisi baada ya kutokamilika kwa dhamana yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,Dar es salaam.
Mdee akiongea na wana habari akiwa ndani ya gari

No comments:

Post a Comment