Pages

Friday 20 November 2015

Updates:Wabunge wa Ukawa watolewa nje ya Bunge

Wabunge  wanaounga  umoja  wa  Katiba  ya  Wananchi(UKAWA). wametolewa  nje  ya  ukumbi  wa bunge  muda  huu  baada  ya  kugoma  kutambua  ujio  wa  Dr Shein bungeni  na  kuanza  kuzomea  huku  wakisema  Maalim Seif....Maalim Seif


Spika  wa  bunge, Job Ndugai  amewataka  wabunge  hao waache kuzomea mala ya kwanza na ya pili baanda ya kuona wakiendelea kuzomea na  kugoma kukaa chini   wakakaida agizo , hali hiyo imemfanya  Spika awaamuru  watoke  nje kwa  hiari  yao  kabla  nguvu  ya  dola  haijatumika  kuwatoa.

No comments:

Post a Comment