Pages

Thursday 25 December 2014

Shangwetz blog tunawatakia kheri ya Chrismass na mwaka mpya 2015.

Blog ya Jamii Shangwetz inawatakia kheri na nafaka kwa chrismass na mwaka mpya 2015.
Tusherekee kwa amani na utulivu ili tuzidi kudumisha amani na usalama katika taifa letu na tuendelee kufungua blog hii kwa habari na matukio motomoto.
Mungu bariki Tanzania, Afrika na Dunia kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment