Pages

Tuesday 24 February 2015

Utafiti Simu ya Android

Utafiti umebaini kuwa betri za simu za android zinaweza kutumika kufuatilia watumizi ya Simu za kisasa zinazotumia mfumo wa Android kwani zinaweza kufuatiliwa kwa urahisi sana.
Uchnguzi umebaini kuwa simu zinazotumia mfumo huo zinaweza kufuatiliwa kwa urahisi mno kutumia kifaa cha GPS yake.
Aidha simu hizo zinaweza kudukuliwa kwa kutumia matumizi ya betri yake, huku utafiti ukisema kuwa simu zinazotumika karibu na kifaa cha kupeperushia masafa ya simu za kuungia.
Aidha mbali. na Simu za kisasa ''Smartphone'' hutumia nguvu zaidi inapokuwa mbali zaidi na kifaa hicho cha kupeperushia masafa ya GSM, kwani inachangamoto tele za kung'amua masafa.
Matumizi ya nguvu zaidi ya shughuli zingine yanaweza kubainishwa na ''alogarithm'' muundo msingi wa simu yenyewe.
Watafiti hao sasa wameunda mfumo ambao unakusanya habari kuhusu matumizi ya betri ya simu.
''Mfumo huo hairuhusu kutumia GPS wala huduma zozote kwa mfano mtandao wa Wi-fi ''
Jopo hilo linajumuishwa Yan Michalevsky, Dan Boneh na Aaron Schulman kutoka idara ya sayansi ya tarakilishi katika chuo kikuu cha
Standford pamoja na Gabi Nakibly kutoka kwa kampuni ya Rafael waliandika katika utafiti wao.
Utafiti umebaini kuwa betri za simu za android zinaweza kutumika kufuatilia watumizi ''Tunaruhusa ya kuunganisha mtandao na upatikanaji wa nguvu yao.''
''Hizi ni ruhusa za kawaida kwa mfumo huo na inawezekano wa kutoleta hutuma kwa upande wa
mwathiriwa.
Kuna mifumo 179 ambazo zinapatikana kwenye Anaroid ,timu hiyo iliongezea. Shughuli kama kuskiza muziki au kutumia
mtandao wa kijamii inamaliza betri ya simu lakin hii inaweza kupunguzwa kutokana na ''kujifunza kwa mashine''ripoti inasema.Jaribio hilo lilifanyiwa kwa simu ambazo zinatumia mtandao wa 3G lakini haikuweza kupima nguvu kwa kuwa twakimu inalindwa na kifaa hicho.






No comments:

Post a Comment