Pages

Thursday 26 February 2015

UTAFITI:Je vipofu wanaona nn giza au mwanga?


Mlemavu wa macho



Mwandishi wa BBC Damon Rose alipofuka alipokuwa mtoto lakini anasema kuwa sio kwamba mtu aliyepofuka anaona giza.

Je, yeye anaona nini haswa?

Watu hudhani kwamba watu waliopofuka huona weusi tititi,lakini kulingana na uzoefu wa mwandishi huyu hilo si kweli.
Anasema kwamba kila anapoulizwa ni nini haswa anachokikosa kwa kuwa yeye ni kipofu husema ni giza.
Huo ndio mwanga waonao vipofu




Anasema kuwa yeye ni mmoja ya watu ambao hawaoni kabisa Alipofuka miaka 31 iliopita baada ya kufanyiwa upasuaji ambao haukufaulu.Anasema Rangi wanazoona watu walio pofuka Watu hudhania kwamba mwangaza na unapoondolewa basi mtu husalia katika giza.

''Unapoingia katika matandiko huwezi kuona kitu kabisa.Unapofunga macho kila kitu kinabadilika na kuwa giza''.

''Kwa hivyo upofu ni sawa na giza?
Inaingia maanani lakini si kweli''.

''Ijapokuwa uhusiano wangu wa akili na macho umekatika duniani haijawa giza kwangu.
''.Kwa hivyo unapopofuka ni nini haswa unachoona? aliulizwa
mwandishi huyu. ,''jibu ni mwangaza,mwangaza mwingi sana ,rangi za
kung'ara,rangi nyingi zinazobadilika kila mara na mwangaza mbaya ulio na bughudha''.







No comments:

Post a Comment