Pages

Monday 10 August 2015

PICHA 7 ZA GUMZO MAANDAMANO UKAWA

Hizi ni picha zikionyesha idadi kubwa ya watu katika maandamano yaliyofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaam ya mgombea urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Edward Lowasa alipokuwa anaenda kuchukua fomu ya kugombea kuwakilisha umoja wa katiba UKAWA.

Maandamano makubwa yaliyofanyika na kuwa na wananchi wengi inasemekana haijawahi kutokea nchi isopokuwa ni yale yaliyokusanya wananchi kama hao katika msiba wa Baba wa Taifa JK . Nyerere

No comments:

Post a Comment