Pages

Tuesday 25 August 2015

Baada ya jana kupanda daladala leo kaendelea na kampeni

Mgombea urais wa UKAWA kwa tiketi ya chama cha chadema mh.Edward Lowasa ameendelea na kampeni zake jijini Dar es salaam ambapo jana alipanda mabasi ya abiria ikiwa ni kutaka kujua matatizo wanayokutana nayo.

Leo ameendelea na kampeni zake ambapo ameenda katika soko la tandale na kujionea hali halisi ya soko hilo.
Tutaendelea kukupasha habari za kisiasa kila wakati endelea kuwa nasi #shangwetz.blogspot.com

No comments:

Post a Comment