Pages

Monday 28 September 2015

UKAWA WALIVYOTIKISA VUNJO


Mh.Edward Lowassa alipowasili na mh.F.Sumaye katika viwanja vya mkutano na kupokelwa na Mgombea ubunge Jimbo la Vunjo wa UKAWA kupitia NCCR MAGEUZI Mh.James Mbatia.


Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia umoja wa katiba ukawa kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Lowassa akihutumia maelfu ya watu katika kampeni jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro.











No comments:

Post a Comment