Pages

Tuesday 29 September 2015

WATU ZAIDI YA 100 WAZIMIA MKUTANO WA LOWASSA TANGA.

Mh.Edward Lowassa akiongea na wananchi katika mkutano





pichaa za watu wakiwa chini wamezimia huku wakipewa huduma ya kwanza.

Mgombea wa nafasi ya urais kupitia Chadema anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, Mh.Edwrad Lowassa jana  alilazimika kuahirisha mkutano mjini Tanga baada ya maelfu ya wakazi waliojitokeza kushindwa kuenea ndani ya uwanja wa Tangamano jijini Tanga

Kwa mara ya kwanza ndani ya jiji la Tanga shughuli zote zinazofanyika katika mitaa ya barabara ya 4, 5,6,7, 8  zililazimika kusimama kwa muda baada ya maelfu ya wakazi wa jiji hilo waliojitokeza katika uwanja wa Tanagmano, hali iliyopelekea kuahiliaha mkutano na kushindwa kuendelea sababu ya watu kuzimia.

No comments:

Post a Comment